NAMNA NILIVYOMKAMATA MME NA BEST YANGU WAKILA URODA KITANDANI KWANGU

Rafiki yako ndiye adui wako kesho, sikuamini macho yangu baada ya kusumbuka kwa muda mrefu nikimtafuta mbaya wa ndoa yangu ni nani. Wanasema Siku za mwizi ni 40, Zilipotimia 40 ndiyo nikatambua kuwa rafiki yangu wa karibu ndiyo chanzo cha kufanya mme wangu kunidharau na kutonithamini kama mke wake wa ndoa.

Nimeishi na mme wangu kwa miaka 3 ndani ya hiyo miaka nimekutana na mambo mengi sana,hadi hatua ya kushindwa kula na kupata usingizi. Kulingana na hizo shida na visa vya mme wangu ilinibidi kuomba ushauri kwa marafiki zangu ili niweze kutetea ndoa yangu.

Nilifanya kila namna ili niweze kutambua mbaya wangu ni nani lakini mipango yangu yote haikufanikiwa hata kidogo.Ushauri ambao best zangu Halima na Sauda waliokuwa wananipa haukuweza kupata mafanikio zaidi ya mme wangu kila siku kunipiga na kusema niondoke kwake hata bila kumkosea.

Baada ya miezi 3 tukiwa kitandani usiku nilishangaa maswali ambayo alikuwa ananiuliza bwana yangu kiasi ambacho nilihisi kuna mtu anampa maneno.Nilijitahidi kuweza kutegeshea simu yake akienda kuoga ili niweze pekua lakini sikuweza kufanikiwa maana password zake zilikuwa zikibadilishwa kila mara.Hali ya kuwa njia hiyo tulikuwa tumepanga mimi na marafiki zangu kujua nani anatembea na mme wangu.

Ilikuwa siku ya Jumanne nipo nyumbani na mme,Mme wangu hakwenda kazini alikuwa hajisikii vizuri ndiyo hapo Best yangu Halima akaja nyumbani kumuona mgonjwa. Halima alileta chakula kimepikwa,Matunda na Soda.

Nilifurahi sana na kuweka mezani ili mme wangu ale. Baada ya Dakika chache mme wangu akaniagiza dukani nimleletee maji ya baridi. Niliporudi nikakuta Halima anamlisha bwana yangu matunda sikuweza fuatilia sana maana mme alikuwa anamjua  Halima kuwa ni best yangu ,muda huo nikadhani kuwa ni mtu na shemeji yake tu.

Halima alikuwa anakuja kwangu subuhi na jioni hadi mme wangu alipopon a.Alipoanza kufanya kazi hali ikiwa vile vile anarudi nyumbani amechelewa na wakati mwingine hali chakula changu.Nikarudi kwa best zangu na kuwalilia juu ya tabia ya mme wangu,Halima ushauri wake aliniambia"wanaume wa siku hizi akipewa chakula kizuri na ukajituma kitandani harudi kwa mke wake”Sikuweza muelewa zaidi ya wote kucheka na kuendelea na story zetu.

Kesho yake jioni nikiwa Facebook niliona mtu mmoja ametoa ushhuuda jinsi alivyoweza kupata msaada na Dr. Kiwanga alivyomsaidia kupata mzungu kutoka America hadi wanafunga ndoa. Katika story yake alikuwa ameandika namba ya Dr hii +254 769404965. Nikachukua namba na kumpigia Dr. Kiwanga na kusema shida niliyonayo. Dr akaniaidi kuwa nitampata mbaya wa ndoa yangu kwa siku 2 tu. Kulingana na imani yangu ya dini sikutaka Halima na Sauda hivyo sikuweza mwambia mtu.

 

Siku ya 2 asubuhi mme wangu alisema hajisikii  vizuri na kuniagiza niende ofisini kwake nimletee laptop yake. Bila kukawia nikajiandaa na kwenda, nikiwa njiani Dr alinipigia na kuniambia nisiwe mbali na nyumbani kwangu siku hiyo, hivyo nilichukua bodaboda haraka hadi ofisini na kurudi haraka nyumba. Kabla ya kufika mlangoni kwangu niliona viatu vya Halima,nikasogea zaidi hadi sebuleni ndipo niliposikia sauti ya Halima

“ Leo nakupa round 2 tu,Sitaki cha umbea wako anikute.Tukutane kwangu jioni

Baada ya hayo maneno nikiingia chumbani haraka na kukuta Halima na Mme wangu  wakiwa kitandani wakivunja amri ya sita. Asante Dr. Kiwanga kunisaidia kutambua mbaya wa ndoa yangu.

Dr. Kiwanga aliniambia kuwa anatatua pia  shida mbalimbali zikiwepo,kupata mpenzi wa ndoto zako,kurudisha mtu aliyepotea,kushinda michezo ya lottery,Kupata kazi,kupata cheo kazini na Do what I say spell kwa wale wanaotaka mmea au mke afanye unachokitaka.

Mpigie Dr. Kiwanga kwa +254 769404965 Au tembelea website yao www.kiwangadoctors.com

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments