Picha : RAIS SAMIA AKIPIGA PICHA NA VIONGOZI MBALIMBALI BAADA YA KUHUTUBIA BUNGE


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (Kulia) mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (Katikati)akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma. Wa pili kushoti ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi, wa pili kushoti ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wa kwanza Kushoto ni Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango na wa kwanza kulia ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Mwinyi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa tatu kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Ulinzi na Usalama mara baada ya kulihutubia Bunge leo Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments