MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO AKUTANA NA KATIBU MKUU KIONGOZI


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akisalimiana kwa Ishara maalum na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Hessein Katanga walipokutana na kufanya mazungumzo Ofisini kwa Makamu wa Rais Ikulu Chamwino Jijini Dodoma leo April 20,2021.(Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments