Picha : VIONGOZI NA WANANCHI WAKISUBIRI KUAGA MWILI MAGUFULI UWANJA WA JAMHURI DODOMA LEO
Picha mbalimbali za viongozi na wananchi ambao tayari wameshajitokeza katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma kumuaga aliyekua Rais wa Tanzania Hayati Dk John Magufuli ambaye ataagwa kitaifa jijini Dodoma