SHILOLE 'SHISHI BABY' KUSHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI NA WOMEN WITH VISION SHINYANGA

Msanii Shilole a.k.a Shishi Baby anatarajia kuungana na Kikundi cha Wanawake cha Women With Vision mkoani Shinyanga kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani ndani ya Ukumbi wa Empire Hotel Mjini Shinyanga Machi 8,2021 akitoa elimu kuhusu masuala ya Ujasiriamali na kushusha Bonge la Burudani!

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments