Breaking : RAIS MAGUFULI AMTEUA DKT. BASHIRU ALLY KUWA KATIBU MKUU KIONGOZI...ANACHUKUA NAFASI YA BALOZI KIJAZI
Friday, February 26, 2021
Dkt. Bashiru Ally Kakurwa
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. John Magufuli na Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dk. Bashiru Ally ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi (Picha kutoka Maktaba)
***
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Katibu Mkuu Kiongozi kuchukua nafasi ya Balozi Mhandisi John Kijazi aliyefariki dunia Februari 17,2021.
Wakati huo huo Rais Magufuli amemteua Dkt. Bashiru Ally Kakurwa kuwa Balozi na kwamba uteuzi huo unaanza rasmi leo Ijumaa Februari 26,2021 na ataapishwa kesho saa tatu asubuhi Ikulu jijini Dar es salaam
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin