 |
Mh Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Damas Ndumbaro akiteta jambo na Drew Binsky wakati alipokwenda kumpokea uwanja wa ndege
wa Mwalimu Nyerere, Dar es salaam, Tanzania tarehe 27 Disemba 2020. Bw
Drew ambaye anawafuasi zaidi ya 30 milioni kwenye mitandao ya kijamii na
mkewe Diana wanatembelea vivutio vya utalii Tanzania. |
Mh Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Damas Ndumbaro kushoto akimpokea Drew Binsky, uwanja wa ndege
wa Mwalimu Nyerere, Dar es salaam, Tanzania tarehe 27 Disemba 2020. Bw
Drew ambaye anawafuasi zaidi ya 30 milioni kwenye mitandao ya kijamii na
mkewe Diana wanatembelea vivutio vya utalii Tanzania.Mh Waziri wa Maliasili na Utalii akimuonyesha kitu Drew Binsky, uwanja wa ndege
wa Mwalimu Nyerere, Dar es salaam, Tanzania tarehe 27 Disemba 2020 wakati alipompokea leo. Bw
Drew ambaye anawafuasi zaidi ya 30 milioni kwenye mitandao ya kijamii na
mkewe Diana wanatembelea vivutio vya utalii Tanzania.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako