DK MWINYI AVUNJA BODI YA WAKURUGENZI SHIRIKA LA MELI NA UWAKALA ZANZIBAR


Rais wa Zanzibar Dk Hussein Mwinyi amvunja bodi ya wakurugenzi wa shirika la meli na uwakala.


Taarifa iliyotolewa leo Jumanne Novemba 15, 2020 na katibu kiongozi, Dk Abdulhamid Mzee inaeleza kuwa kuvunjwa kwa bodi hiyo kunatokana na Serikali kutoridhishwa na uendeshaji na utendaji wa shirika hilo.


Jana kiongozi huyo alitengua uteuzi wa  katibu wa rais, Suleiman Ahmed Saleh ikiwa umepita mwezi mmoja tangu alipomteua ikielezwa kuwa sasa atapangiwa kazi nyingine.


 




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments