DKT.SIMBACHAWENE AIWAKILISHA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA NANE WA AMCEN

Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dkt. John Simbachawene akiiwakilisha Tanzania katika Mkutano Maalumu wa Nane wa Mawaziri wa Mazingira wa Afrika (AMCEN) uliofanyika jana Desemba 4, 2020 kwa njia ya mtandao katika ukumbi wa Ofisi ya Makamu wa Rais jijini Dodoma. 
 
Katika Mkutano huo uliohudhuriwa pia na wataalamu kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, viongozi hao kutoka barani Afrika wamejadili masuala muhimu na agenda za Mkutano wa Baraza la Umoja wa Mataifa la Mazingira (UNEA-5) utakaofanyika Februari, 2021 na kukubaliana msimamo wa pamoja wa Afrika katika kushiriki Mkutano huo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments