TANDAU AFUNGUA MKUTANO MKUU WA CHAMA CHA WANA OLIMPIKI TANZANIA (TOA)


Makamu wa Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Henry Tandau akizungumza wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Wana Olimpiki Tanzania (TOA), katika ukumbi wa Dodoma Hotel, jijini Dodoma leo Desemba 10, 2020. Tandau alikuwa mgeni rasmi katika mkutano huo ambapo wajumbe TOA watashiriki kuchagua viongozi wao wapya. Kushoto ni Rais wa TOA, Gidamis Shahanga na kulia ni Katibu Mkuu wa TOA, Mwinga Mwanjala. Picha na Richard Mwaikenda
Rais wa Chama Cha Wana Olimpiki Tanzania (TOA), Gidamis Shahanga akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi, Makamu wa Rais wa Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC), Tandau kufungua mkutano mkuu wa TOA.
Baadhi ya wajumbe wakiwa katika mkutano huo
Viongozi wa TOC na TOA wakiwa katika picha za pamoja na wajumbe wa mkutano mkuu wa TOA.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments