Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kuapishwa Kwa Wabunge Wapya Wateule Wa Rais
Monday, November 30, 2020
Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai leo jioni atawaapisha wabunge wawili walioteuliwa Jumapili iliyopita na Rais Dkt. John Magufuli.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kitengo cha mawasiliano cha Bunge hafla hiyo itafanyika saa 10 jioni kwenye viwanja vya Bunge, Dodoma.
Wabunge watakao apishwa na Spika Ndugai ni pamoja na Katibu wa Halmashauri kuu ya CCM- NEC, Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole na Riziki Lulida ambaye alikuwa mbunge wa viti maalum kwenye Bunge la 11 kwa tiketi ya CUF.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin