RAIS MAGUFULI AWAPONGEZA JOE BIDEN NA KAMALA HARRIS
Wednesday, November 11, 2020
Rais wa Tanzania John Magufuli amempongeza Rais mteule Joe Biden na aliyekuwa mgombea mwenza Kamala Harris kwa ushindi walioupata katika uchaguzi mkuu wa Marekani.
Katika Ukurasa wake wa Twitter Rais Magufuli amesemea anawahakikishia wawili hao kuwa Tanzania itaendelea kutunza uhusiano uliopo kati ya nchi hizo mbili.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin