HIACE YAPINDUKA NA KUUA WATU NANE BUKOBA


Watu wapatao nane wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa katika ajali ya gari la abiria lenye namba za usajili T.471 DCG linalofanya safari za kubeba abiria kutoka Kemondo kwenda Bukoba Mjini, baada ya gari hilo kufeli breki na kupinduka.

Ajali hiyo ilitokea Novemba 22 saa 1:45 usiku na gari hilo aina ya Toyota Hiace yenye namba za usajili T. DCG lilikuwa likiendeshwa na Ismail Rashid (37) mkazi wa Kemondo.

Via Mwananchi

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments