HAYA NDIYO ALIYAZUNGUMZA JPM LEO KAWE WAKATI AKINADI SERA ZA CCM

Habari picha. Mgombea Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli ameendelea Kunadi Sera na Ilani ya CCM Kwenye Mkutano wake wa Mwisho Mkoa wa Dar es Salaam Kwenye Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe. Haya ndiyo Aliyoyaongea Kwenye Mkutano huo wa Kufungua Awamu ya 6 na ya mwisho ya Kampeni za CCM.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527

0/Post a Comment/Comments