MGOMBEA MWENZA MAMA SAMIA SULUHU AMWAGA SERA ZA CCM CHUNYA MBEYA...AOMBA KURA ZOTE ZIENDE CCM
Thursday, October 15, 2020
Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais wa CCM Mama Samia Suluhu Hassan Leo Oktoba 15, 2020 ameunguruma Wilayani Chunya Mkoani Mbeya Kwenye Mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni ya Kunadi Sera na Ilani bora na ya Maendeleo ya CCM. Mama anaongea na Watanzania kutoa kura Zote kwa CCM na kuacha kabisa kuchanganya mambo kuchagua wapinga maendeleo.
#KuraKwaMagufuli2020#T2020JPM
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin