Home »
habari
» TANZANIA YAONDOA MARUFUKU YA SAFARI ZA NDEGE ZA KENYA KUINGIA HAPA NCHINI
TANZANIA YAONDOA MARUFUKU YA SAFARI ZA NDEGE ZA KENYA KUINGIA HAPA NCHINI
Tanzania imeondoa marufuku ya safari za ndege za Kenya kuingia kwenye anga lake iliyokuwa imeiweka baada ya nchi ya Kenya kuondoa sharti la kuwaweka karantini siku 14 Watanzania wote wanaoingia nchini humo.
Taarifa hii imetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Hamza Johari.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa