Home »
habari
,
siasa
» MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA MGOMBEA URAIS WA CCM JPM AKIUNGURUMA MJINI CHATO MKOA WA GEITA LEO
MAELFU WAJITOKEZA KUMSIKILIZA MGOMBEA URAIS WA CCM JPM AKIUNGURUMA MJINI CHATO MKOA WA GEITA LEO
 |
Maelfu ya wananchi wakiwa katika Uwanja wa Mazaina mjini Chato mkoani Geita kumsikiliza mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli katika
mkutano wa hadhara wa kampeni leo Jumatatu Septemba 14, 2020 |
 |
Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimvisha kofia ya CCM msanii Rajabu Abdul Kahali maarufu kama Harmonize baada ya kutumbuiza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa Mazaina leo Jumatatu Septemba 14, 2020 |
Mgombea wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi ambaye pia ni Mwenyekiti wa
Chama Hicho Tawala na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John
Pombe Magufuli akimvisha kofia ya CCM msanii Rajabu Abdul Kahali maarufu
kama Harmonize baada ya kutumbuiza kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni katika Uwanja wa Mazaina leo Jumatatu Septemba 14, 2020
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa