DR MAGUFULI AVUA KOFIA HADHARANI NA KUMVALISHA DIAMOND


Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John  Magufuli ameshindwa kujizuia na kuamua kumwita msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz, meza kuu kisha kuvua kofia yake na kumvisha mwanamuziki huyo.

Magufuli amefanya hayo leo Jumatatu, Septemba 7, 2020, wakati Diamond  alipokuwa akitumbuiza kwenye kampeni za Magufuli katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527