MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA RORYA JAFARI CHEGE ANAZINDUA KAMPENI ZAKE MUDA HUU

Mgombea ubunge wa Jimbo la Rorya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jafari Chege (katikati) anazindua kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020 muda huu leo Jumanne Septemba 8,2020 katika uwanja wa Busurwa kata ya Nyamagaro wilayani Rorya
 
Mgombea ubunge wa Jimbo la Rorya kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jafari Chege  akiwa amekaa wakati wa wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2020 muda huu leo Jumanne Septemba 8,2020 katika uwanja wa Busurwa kata ya Nyamagaro wilayani Rorya 


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527