Home »
habari
» NEC YAMTEUA JOHN SHIBUDA KUWA MGOMBEA WA URAIS WA TANZANIA KWA TIKETI YA CHAMA CHA ADA-TADEA
NEC YAMTEUA JOHN SHIBUDA KUWA MGOMBEA WA URAIS WA TANZANIA KWA TIKETI YA CHAMA CHA ADA-TADEA
NEC imemteua John Shibuda kuwa mgombea wa Urais wa Tanzania na Hassan Kijogoo kuwa mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais wa Chama cha ADA-TADEA.
Zoezi hilo limefanywa na Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage kwenye ofisi za NEC Dodoma
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa