ANGELINE MABULA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA TENA UBUNGE ILEMELA

Mgombea wa nafasi ya ubunge jimbo la Ilemela ambae pia alikuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe Dkt. Angeline Mabula leo Ijumaa Agosti 21,2020 amechukua fomu ya kugombea tena nafasi hiyo kwa msimamizi wa uchaguzi wa jimbo la Ilemela Ndugu John Wanga.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527