AHMED SALUM ACHUKUA FOMU KUGOMBEA TENA JIMBO LA SOLWA


Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Solwa mkoani Shinyanga, Hoja Mahiba (kushoto), akimkabidhi fomu za uteuzi kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Ahmed Salum ya kugombea ubunge jimbo la Solwa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu.
Ahmed Salum akionyesha fomu ya tume ya taifa ya uchaguzi (Nec) ya kugombea ubunge jimbo la Solwa kupitia chama cha mapinduzi CCM Kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28, mwaka huu. 

Picha na Marco Maduhu
Via Shinyanga Press Club Blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527