RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO YA UTEUZI ALIOFANYA JULAI 17... MHANDISI MARWA MWITA RUBIRYA SASA RC NJOMBE


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko ya uteuzi alioufanya  Julai 17,2020 ambapo amemteua Mhandisi Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa mkoa wa Njombe


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527