Home »
habari
» RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO YA UTEUZI ALIOFANYA JULAI 17... MHANDISI MARWA MWITA RUBIRYA SASA RC NJOMBE
RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO YA UTEUZI ALIOFANYA JULAI 17... MHANDISI MARWA MWITA RUBIRYA SASA RC NJOMBE
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko ya uteuzi alioufanya Julai 17,2020 ambapo amemteua Mhandisi Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa mkoa wa Njombe
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa