BENARD MEMBE ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA URAIS TANZANIA KWA TIKETI YA ACT-WAZALENDO

Leo Julai 17, 2020, aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe, amechukua fomu ya kuwania Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya ACT-Wazalendo ambapo amekabidhiwa fomu hiyo na Katibu Mkuu wa chama hicho Ado Shaibu



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527