OMEGA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA UBUNGE MAKAMBAKO


Mjumbe wa Baraza Kuu UVCCM Taifa anayeuwakilisha Mkoa wa Njombe Ndg Omega Thobias (kulia) amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Makambako Mkoani Njombe kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi. 

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527