Home »
habari
» Maalim Seif Sharif Hamad Arudisha Fomu ya Kugombea Urais Zanzibar
Maalim Seif Sharif Hamad Arudisha Fomu ya Kugombea Urais Zanzibar
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Maalim Seif Sharif Hamad leo amerudisha fomu kwenye ofisi za chama zilizopo Vuga Zanzibar yakuomba dhamana ya chama ya kuteuliwa kuwa mgombea Urais Zanzibar kwenye Uchaguzi wa Oktoba 2020.
Usikubali kupitwa na habari..Pakua App ya Malunde1 blog HAPA Ili tuwe tunakutumia habari moja kwa moja Kwenye Simu yako
Malunde 1 blog Ipo PlayStore....Pakua App yetu mpya HAPA Upate Habari Mpya Moja Kwa Moja Kwenye Simu yako..Utasoma habari hata kama hauna MB..Bofya Hapa