MAJINA MATATU YALIYOPITISHWA NA MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM KWA AJILI YA KUGOMBEA URAIS ZANZIBAR


Mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM  umepitisha majina matatu ya wagombea Urais wa Zanzibar, ambao ni ;


1.Dk Khalid Salim Mohamed,
2. Dkt Hussein Ali Mwinyi na 
3. Shamsi Vuai Nahodha.


Wagombea walikuwa 31, Lakini waliopitishwa Tano bora Urais Zanzibar  walikuwa ;

1.Prof. Makame Mbarawa
2.Dkt.Khalid Salum Mohamed
3.Shamsi Vuai Nahodha
4.Dkt.Hussein Mwinyi
5.Khamis Musa Omar

Mkutano bado unaendelea ambapo litapendekezwa jina moja kati ya hayo matatu. Endelea kuwa nasi


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527