PROF PATRICK NDAKIDEMI AONGOZA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOSHI VIJIJINI
Wednesday, July 22, 2020
Prof Patrick Ndakidemi ameibuka mshindi katika mchakato wa kura za maoni Jimbo la Moshi Vijijini kwa kupata kura 262 akifuatiwa na Deogratius Mushi aliyepata kura 46
huku mshindi wa tatu akiwa ni Moris Makoi aliyepata kura 35.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundeblog@gmail.com
🚧🚦 Usiendeshe gari lako bila Mafunzo na Leseni halali_ 📲 Wasiliana nasi sasa: wa.me/255740273285 Unahitaji nini? 🚘 Unataka kujifunza udereva wa magari na kupata Cheti? 📄 Una cheti unataka kupata Leseni? 🔄 Unajua kuendesha lakini huna cheti wala leseni na unataka refresh upate cheti? 🛣️ Una nyaraka zote muhimu lakini unahitaji kujifua zaidi barabarani? ✅ Una Leseni bila cheti na unataka renew? 🌍 Tupo mikoa yote Tanzania hadi vijijini! 📞 Tupigie sasa: 0769 763 285
Social Plugin