PROF PATRICK NDAKIDEMI AONGOZA KURA ZA MAONI JIMBO LA MOSHI VIJIJINI

Prof Patrick Ndakidemi ameibuka mshindi katika mchakato wa kura za maoni  Jimbo la Moshi Vijijini  kwa kupata kura 262 akifuatiwa na Deogratius Mushi aliyepata kura 46
huku mshindi wa tatu akiwa ni Moris Makoi  aliyepata kura 35.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527