WENYE VIRUSI VYA CORONA NCHINI KENYA WAFIKA 411


Watu 15 zaidi wameambukizwa ugonjwa wa corona  nchini Kenya ndani ya masaa 24.

Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesema leo Ijumaa, Mei 1, wakati wa kikao na wanahabari 

Idadi hiyo sasa inafikisha watu walioambukizwa virusi hivyo nchini Kenya kuwa 411. 

Aidha watu wanne pia wamefarikina kufikisha idadi ya waliofariki  kuwa 21.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post