WAGONJWA WA CORONA UGANDA WAFIKA 160

Uganda imethibitisha wagonjwa wapya 21 wa homa ya COVID19 na kufanya idadi ya maambukizi kuwa 160.

21 hao wamebainika baada ya kufanyika vipimo kwa sampuli 1593 za madereva katika mipaka ya Mtukula ,Busia ,Malaba na Elegu.

Wizara ya Afya nchini humo imesema, kati ya hao Wakenya ni 08, Waganda ni 05, Watanzania ni 07 na Mmoja ni Raia wa Sudani



Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527