WAGONJWA WA CORONA NCHINI KENYA WAFIKA 781


Kenya imerekodi visa vingine 23 vya maambukizi ya virusi vya corona na kufanya jumla ya walioambukizwa kufikia 781



Wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo Ijumaa Mei 15, katibu msimamizi wa maswala ya Afya nchini Kenya  Rashid Aman amesema maambukizi hayo mapya yametokana na sampuli 2,100 zilizofanyiwa vipimo kwa saa 24 zilizopita. 

Amesema  Vifo vimefika 45, Waliopona 284


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527