Habari Mpya

6/recent/ticker-posts

Tanzia : MWENYEKITI WA SOKA LA WANAWAKE MKOA WA DAR ES SALAAM DKT. MANENO TAMBA AFARIKI DUNIA


Mwenyekiti wa Soka la Wanawake Mkoa wa Dar es Salaam na mmiliki wa timu ya soka ya wanawake ya Mburahati Queens, Dkt. Maneno Tamba amefariki dunia leo mchana.




Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com