Breaking News : RAIS MAGUFULI AMTUMBUA NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. FAUSTINE NDUGULILE..DKT. GODWIN MOLLEL ACHUKUA NAFASI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Dkt. Faustine Ndugulile (Mbunge wa Kigamboni) na kumteua Dkt. Godwin Oloyce  Mollel (Mbunge wa Siha) kuwa Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527