WENYE VIRUSI VYA CORONA NCHINI KENYA WAFIKA 336


Watu 16 zaidi wameambukizwa  corona  nchini Kenya na kufanya idadi ya wagonjwa nchini Kenya kufikia 336.


Katibu wa Kudumu katika Wizara ya Afya Dkt Rashid Aman amewaambia waandishi wa habari leo Ijumaa, Aprili 24 kwamba wagonjwa hao walithibitishwa baada ya sampuli 946 kupimwa katika saa 24 zilizopita. 

Amesema Visa 11 vimetokea Nairobi huku wagonjwa wengine 5 wakiwa Mombasa.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post