WALIOFARIKI KWA VIRUSI VYA CORONA MAREKANI WAFIKA 40,565


Ripoti ya kutoka Chuo kikuu cha Johns Hopkins imesema kuwa takriban kesi za maambukizi ya virusi vya Corona nchini Marekani imefikia 764,265  huku idadi ya vifo ikiwa ni zaidi ya 40,565. 


Barani Afrika, kesi za maambukizi zimefika 21,317 pamoja na idadi ya vifo 1,080 mpaka kufikia leo Aprili 20.

Mbali na hizo takwimu duniani kote inakdiriwa kuwa na kesi 2,408,304  zilizothibitishwa huku waliopona wakikadiriwa kufikia 629,066 na vifo vikikadiriwa kufikia 165,105


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527