WAGONJWA WA CORONA NCHINI KENYA WAFIKA 216....NI BAADA YA WENGINE 8 KUONGEZEKA LEO

Idadi ya waathirika wa Virusi vya Corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia 216, baada ya hii leo kuthibitisha visa vipya nane, ambapo watano ni raia wa Kenya na watatu ni raia kutoka Mataifa mengine.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post