Idadi ya waathirika wa Virusi vya Corona nchini Kenya imeongezeka na kufikia 216, baada ya hii leo kuthibitisha visa vipya nane, ambapo watano ni raia wa Kenya na watatu ni raia kutoka Mataifa mengine.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553