Picha : MAZISHI YA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA MTWARA, EVOD MMANDA

Mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evod Mmanda yamefanyika  leo Jumanne Aprili 28,2020 asubuhi eneo la Pemba Mvita  na kuhudhuriwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa.


Mazishi hayo yamehudhuriwa na ndugu wachache na kusimamiwa na serikali.

Picha: AzamTv

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post