IDADI YA WAGONJWA WA CORONA KENYA YAFIKIA 374


Wizara ya Afya Kenya imesema wagonjwa wengine 11 wa corona wameongezeka leo na kufanya jumla ya visa vya corona kufikia 374.


Taarifa hiyo imetolewa na Naibu waziri wa Afya Dkt.Rashid Aman ambapo amesema kuwa kati ya maambukizi hayo mapya 11, wawili ni watoto wa miaka mitatu.

Hata hivyo, licha ya maambukizi ya Covid-19 kuongezeka nchini humo,  idadi ya waliopona pia imeongezeka na kufikia 124


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post