T-MARC TANZANIA YATOA MSAADA WA TAULO ZA KIKE 'FLOWLESS', SHULE YA MUGABE DAR



 Mkurugenzi wa Bidhaa za Kijamii wa T-MARC Tanzania,Flavian Ngole (kushoto) akikabidhi taulo za kike kwa Mwalimu mlezi wa shule ya sekondari ya Mugabe iliyopo Sinza jijini Dar es Salaam, Theresia Paulo, wakati wa hafla ya hafla ya kukabidhi msaada wa taulo za kike zilizozinduliwa na taasisi hiyo nchini zinazojulikana kama Flowless, wa pili kushoto ni balozi wa bidhaa hiyo, Dinnah Marrios.


Mkurugenzi wa Bidhaa za Kijamii wa T-MARC Tanzania, Flavian Ngole, (kushoto) akikabidhi taulo za kike kwa mmoja wa wanafunzi wa shule ya sekondari ya Mugabe iliyopo wilayani Kinondoni,Judith Michael, wakati wa hafla ya kukabidhi msaada wa taulo za kike zilizozinduliwa na taasisi hiyo nchini zinazojulikana kama Flowless, kwa wanafunzi wa shule hiyo ,wa pili kushoto ni balozi wa bidhaa hiyo, Dinnah Marrios.

Mkurugenzi wa Bidhaa za Kijamii wa T-MARC Tanzania, Flavian Ngole, akiongea na wanafunzi wa kike wa sekondari ya Mugabe wakati wa hafla ya kukabidhi taulo za kike kwa wanafunzi wa shule hiyo.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553
Previous Post Next Post