Katibu Mkuu Chadema, Mheshimiwa John Mnyika leo amesimikwa kuwa Chifu wa Wasukuma na kupewa jina la Maronja likiwa na maana ya MREKEBISHAJI. Mnyika yupo mapumzikoni kijijini kwao mkoani Mwanza.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553