RAIS MAGUFULI AWAAPISHA MABALOZI WATANO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Maj. Jenerali Anselm Shigongo Bahati kuwa
Balozi wa Tanzania Nchini Misri, Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Novemba 23, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Mohamed Abdallah Mtonga kuwa Balozi wa
Tanzania Nchini Abu dhabi (UAE) , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini
Dodoma. Novemba 23, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Dkt. Jilly Elibariki Maleko kuwa Balozi wa
Tanzania Nchini Burundi , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Novemba 23, 2019.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Jestas Abouk Nyamanga kuwa Balozi wa
Tanzania Nchini Ubelgiji , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Novemba 23, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akimuapisha Balozi Ali Jabir Mwadini kuwa Balozi wa Tanzania
Nchini Saud Arabia , Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Novemba
23, 2019.
Mabalozi wapya watia sahihi hati za kiapo cha Maadili kwa
Watumishi wa Umma kilichoongozwa na kamshna wa Tume ya Maadili Jaji Mstaafu Harold Nsekela mara baada kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli . Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Novemba 23, 2019. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya kumbukumbu na Waziri Mkuu Mhe.
Kassim Majaliwa , Katibu Mkuu Kiongozi Balozi wa John Kijazi, Waziri wa Mambo
ya nje Profesa Palamagamba Kabudi ,Waziri wa TAMISEMI Seleman Jaffo, Waziri
wa Ardhi William Lukuvi, Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi wakwanza kushoto pamoja na Mabalozi wapya mara baada ya tukio la uapisho Ikulu chamwino jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli akiwagawia Vitafunwa wageni mbalimbali waliohudhuria hafla ya Uapisho ya Mabalozi iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Novemba 23, 2019.
Mabalozi wapya wakila kiapo cha Maadili kwa Watumishi wa Umma
kilichoongozwa na kamshna wa Tume ya Maadili Jaji Mstaafu Harold Nsekela mara baada kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli . Hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino jijini Dodoma. Novemba 23, 2019.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza mara baada kuwapisha Mabalozi watano
walioapishwa kuiwakilisha Tanzania katika Nchi za Burundi, Abu Dhabi (UAE)
,Ubelgiji, Misri pamoja na Saud Arabia katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino
jijini Dodoma. Novemba 23, 2019.
PICHA NA IKULU

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527