MSANII BABA LEVO ASHINDA RUFAA YAKE NA KUACHIWA HURU


Msanii wa Muziki na Diwani wa Mwanga Kaskazini, Clayton Chipando ‘Baba Levo’ ameachiwa huru leo baada ya kumaliza hukumu yake ya miezi mitano huku Mahakama ikijiridhisha kuwa kifungo alichoongezewa kilikuwa batili.

Kabla ya kuachiwa huru leo, Baba levo alihukumiwa kwenda jela Miezi mitano Agosti 01, 2019 na Mahakama ya Mwanzo Mwandiga, Kigoma baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia Askari wa Usalama Barabarani, baadae alikata rufaa kupinga hukumu hiyo na akaongezewa hukumu


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527