KOCHA MKUU WA YANGA SC, MWINYI ZAHERA AFUKUZWA KAZI
Tuesday, November 05, 2019
Uongozi wa Klabu ya Yanga leo Jumanne Novemba 5,2019 umetangaza rasmi kumfuta kazi Kocha Mkuu wa timu hiyo Mwinyi Zahera pamoja na benchi lake lote la ufundi hadi walinzi wa timu hiyo.
Taarifa hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Yanga Mshindo Msolla ambapo amesema Boniface Mkwasa atakaimu kama Kocha Mkuu wa muda.
Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa
Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com
Social Plugin