VIDEO ZA NGONO ZAMPONZA MSANII MENINA, AITWA BASATA

Baada ya kusambaa kwa picha na video zisizo na maadali (za ngono) za msanii Menina, Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) limemtaka msanii huyo kufika katika ofisi zake jijini Dar es Salaam.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527