MTUNZI WA WIMBO 'CHADEMA PEOPLE'S POWER' AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mkuu wa Idara ya sanaa CHADEMA makao makuu Fullgency Mapunda (Mwana Cotide) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo.




 Enzi za uhai wake aliimba wimbo wa chama hicho wenye maneno "CHADEMA People's Power" ambao ni maarufu hadi sasa. Soma taarifa ya chama hicho hapo chini





Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527