WASANII WATAKAOKIWASHA TIGO FIESTA 2019 _SAIZI YAKO JIJINI MWANZA WATEMBELEA DUKA LA TIGO


Msanii bongofleva Billnass akisajili laini yake kwa mfumo wa alama za vidole alipotembelea duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019_Saizi yako Jijini Mwanza.
Msanii wa Nyimbo za Injili Goodluck Gozbert akiwa Pamoja na msanii chipukizi wa Bongofleva Badest walipofika kusajili laini zao kwa alama za vidole na kuona huduma mali mbali duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019_Saizi Yako Jijini Mwanza.
Msanii bongofleva kutoka kundi la Weusi Gnako akisajili laini yeke kwa mfumo wa alama za vidole katika duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza Anayeshuhudia pembeni yake ni Meneja Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019 Jijini Mwanza.
Msanii bongofleva Billnass akiangalia simu zinazouzwa katika duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza pembeni yake ni Meneja Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019 Jijini Mwanza.
Wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la Tigo Fiesta 2019 _Saizi yako Jijini Mwanza wakifurahi jambo mara baada ya kutembelea na kusajili laini kwa alama za vidole na kuona huduma mbalmbali zinazotolewa na duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019 Jijini Mwanza.
Wasanii watakaotumbuiza katika tamaha la Tigo Fiesta 2019 _Saizi yako Jijini Mwanza wakiwa katika picha ya Pamoja mara baada ya kutembelea na kusajili laini kwa alama za vidole na kuona huduma mali mbali duka la Tigo eneo la Samaki barabara ya Stesheni jijini Mwanza.Mapema leo kabla ya kuanza kwa msimu mpya wa Tigo Fiesta 2019 Jijini Mwanza.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527