SHULE YA SEKONDARI OLD TANGA INATEKETEA KWA MOTO

Shule ya Sekondari Old Tanga inateketea kwa moto ulioanza leo mchana Jumatano Septemba 18, 2019.


Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga Edward Bukombe amesema chanzo cha moto huo ulioteketeza chumba cha mikutano na cha kuhifadhi vifaa bado hakijafahamika.

Kikosi cha Zimamoto tayari kiko eneo la tukio  kuuzima moto huo.


Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527