NGUZA VIKING 'BABU SEYA' NA KATIBU TAWALA WILAYA YA MUHEZA WAFUNGA PINGU ZA MAISHA

Mwanamuziki Mkongwe nchini Nguza Viking almaarufu Babu Seya amefunga ndoa takatifu Jumamosi Septemba 7,2029 katika Kanisa Katoliki,Sinza jijini Dar es salaam na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Desderia Haule. Tunawatakia kila la kheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. 
Mwanamuziki Mkongwe nchini Nguza Viking almaarufu Babu Seya akiwasili katika kanisa la katoliki Sinza Jumamosi Septemba 7,2029 jijini Dar kufunga ndoa takatifu na Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Desderia Haule. Tunawatakia kila lakheri, afya njema na maisha marefu zaidi na Mungu akayabariki maisha yao mapya ya Ndoa. 
Bi Harusi, Katibu Tawala Wilaya ya Muheza (DAS), Bi Desderia Haule akiwa katika furaha

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527