JAMII FORUMS YASHINDA TUZO YA DAUDI MWANGOSI 2019


Muungano wa Klabu za Waandishi wa habari nchini Tanzania (UTPC) umeitangaza Kampuni ya Jamii Forums kuwa mshindi wa Tuzo ya Mwangosi mwaka 2019.Mwenyekiti wa Jopo la Majaji wa Tuzo ya Daudi Mwangosi 2019,Charles Kayoka ameitangaza Jamii Forums kuwa mshindi wa Tuzo ya Daudi Mwangosi 2019 katika mkutano uliohudhuriwa viongozi wa Klabu za Waandishi wa habari nchini pamoja na wageni mbalimbali katika ukumbi wa Raha Leo,Zanzibar leo Septemba 6,2019 ambapo mgeni rasmi alikuwa Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Anders Sjoberg. 


Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Anders Sjoberg akimkabidhi tuzo ya Daudi Mwangosi,Mkurugenzi  Mkuu wa JamiiForums na mwanzilishi wa Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Melo leo katika ukumbi wa Raha Leo,Zanzibar . Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Mkurugenzi Mkuu wa Jamii Forums, Maxence Melo akiangalia tuzo.
Mkurugenzi  Mkuu wa Jamii Forums, Maxence Melo akionesha  tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.
Mkurugenzi  Mkuu wa Jamii Forums, Maxence Melo akionesha  tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.

Balozi wa Sweden nchini Tanzania,Anders Sjoberg akimkabidhi hundi ya shilingi milioni 10 Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Media inayomiliki Mtandao wa Jamii Forums, Maxence Mello kwa kushinda tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.
Mkurugenzi  Mkuu Jamii Forums, Maxence Melo akipokea hundi ya shilingi milioni 10 ambayo ni zawadi ya Tuzo ya Daudi Mwangosi 2019.

Picha zote na Kadama Malunde - Malunde 1 blog

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527