KITABU CHA KUSAIDIA WANAWAKE WANAOWANIA NAFASI ZA UONGOZI CHAZINDULIWA KWENYE TAMASHA LA JINSIA 2019


Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change' ukifanyika leo  Alhamis Septemba 26,2019 kwenye usiku wa Mwanamke wa Kiafrika wakati wa Tamasha la 14 la Jinsia 2019 linalofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao Mabibo Jijini Dar es salaam. Lengo la kitabu hicho ni kutoa taarifa muhimu kuhusu mashirika yanayosaidia jitihada za wanawake kuwania nafasi za uongozi kwa ngazi zote na kwa wanawake wa vyama vyote vya siasa. Kitabu hicho kimeandaliwa na Taasisi ya Women Fund Tanzania kwa ufadhili wa Umoja wa Ulaya na Seidel Foundation. Picha zote na Kadama Malunde- Malunde 1 blog
Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change' ukiendelea.
Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change' ukiendelea
Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change' ukiendelea.
Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change' ukiendelea.
Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change' ukiendelea.
Wanawake wakifurahia wakati wa Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change'.
Wanawake wakifurahia wakati wa Uzinduzi wa Kitabu cha 'Women Leaders Power of Change'.

Download/Pakua/Install App ya Malunde 1 blog Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia malundekadama@yahoo.com au WhatsaApp: + 255 757 478 553 au 0625 918 527